Breaking News

NILIPOONJA UTAMU WA VANILA….18


 Nasra alieendelea kunikazia macho nilitaka kumkonyeza Eliza aache kuuuchezesha mguu wake kule chini nilishindwa na yeye Eliza aliendelea kuuchezesha mguu wake kwa chini mara kidogo Nasra uzalendo ukamshinda ikabidi aongee

“wewe Eliza unafanya nini huko chini
“mimi …Eliza aligwayagwaya
“ndio ww
“sifanyi kitu dada
“mh unaona mimi mtoto unavyonipapasa hujui mm naona kuna kitu ww na david mnafanya
“hap…A ..Na dada alijibu huku akitetemeka
“xawa mimi nipo na nitaona huo mwisho wenu na davie utajua mimi ni nani
Alinyanyuka na kwenda chumbani mwake na kutuacha mimi na Eliza pale seburen
alipoondoka Eliza alisonya na kucheka kwa dharau
“mh yeye na nani mpaka atutishe
Alioongea na huku akinitia busu shavun na mimi nikaona ule unaweza ukawa msala
Nilinyanyuka na kwenda chumba kwangu alitaka kuja lakin nilifunga mlango
Nikiwa chumban mawazo yalinijia kichwan kama Nasra akijua itakuwaje lakin nikifikiria umbo la Eliza moyo wa uwoga ukaondoka kabisa
Nikiwa bado nipo kwenye mawazo nilisikia mlango ukigongwa nilishituka na kwenda kufungua uso kwa uso nikakutana na Nasra
“vp ulilala
“hapana
Nilikuwa kifua wazi alichukua kucha zake na kupapasa kifua changu huku akiendelea kuongea
“leo nataka kwenda kumuona baba yako maana una wk upo kwangu na yeye anakutafuta
“sawa nenda ila mimi sitaenda kwan nahisi baba atakuwa na hasira sana
“sawa mimi naenda ila sipenda vitendo vibaya hapa kwangu
Alinivuta na kunipa denda la nguvu na kubadilisha mate kwa muda na kisha kuondoka
Nilijifungia ndani kwa muda na sikupenda kutoka nje kwa kumuogopa Eliza na kuhisi labda Nasra kaniwekea mtego
“davie davie nilisikia Eliza akiniita
niliuchuna lakin akaendelea kuita ikabidi nitoke nje
Nilimkuta kavb kinguo kifupi na sana na kuacha mapaja yake yote wazi
“chakula tayari
“sawa
Nilienda kukaa kwenye meza ya chakula na kuanza kula alikuja kukaa pembeni yangu na kuanza kunitekenya na huku akinilisha chakula
Mwili wangu ulisisimka sana na kila nilipoangalia jicho lake mwili ulizidi kunisisimka
Uzalendo ukanishinda alipoleta kijiko kunilisha nilikizuia na kukamata kidevu chake tukawa tunabadilisha mate
nilimyanyua na kumpakata mapajan mwangu na huku nikivua kitopu chake
Nilichua barafu na kuliweka mdomon mwangu
na kisha kuanza kulipitisha katikati ya maziwa yake hali ya ubaridi ule ilimfanya asisimke na kulalamika
mmmmmh……Ooosh….Davie
alilamka huku akinikumbatia kwa nguvu na mimi nilizidisha utundu nilikishusha kiguo chake kifupi na kumkuta na bikin
Niliishusha taratibu na kumweka juu ya meza na kisha kuitanua miguu yake na kupitisha ulimi wangu
nakuanza kulamba kwa juu maana nilishazoea mchezo huo
uuuuuuh …..,uuuwiii alihema kwa nguvu
Nililamba na kuchezea vya kutosha kabla ya kumshusha na kupitisha rungu langu huku mguu wake mmoja nikiunyanyua juu
Nilipiga mzigo mpaka kila na ý alizungusha kiuno chake kwa fujo
Tuliucheza mchezo mpaka dk 90 zilipoisha
tulienda kuoga na kucheza ndan kama mtu na mpenz wake
Giza liliingia na Nasra alikuwa hajarudi muda wa kulala ulifika na mimi kwenda kulala Eliza alitaka tukalale wote ila akaogopa Nasra anaweza kurudi
Niliingia chumban mwangu na kujitupa kitandan kwa uchovu nakupitiwa na usingz
Usiku wa manane nilishitushwa mlango wangu ukifunguliwa
na kwa taratibu na sauti za miguu kunyata nikazisikia nilitulia kitandan .Mara taa ikawashwa na kumuona Nasra akiwa ndani ya kanga moja nilishituka cna na nikajua leo kuna mchezo mwingine ..
Alifunga mlango taratibu na kunyata kuja kitandani nilipo alikunja neti taratibu na kupanda kitandani nilimsikia lakini niliuchuna
“davie davie aliniita
nilinyamaza kimya kama vile simsikiii bado aliendelea kuniita huku akinitingisha
“wewe davie ebu amka
alinivuta kwa nguvu na kunisimamisha pale kitandani nilishituka na kufikicha macho
“naam nilimwitikia
“ebu amka nimetoka chumbani kwangu kwani leo nina hamu sana maana kipindi kirefu hatujakutana kwa sababu ya eliza ebu npie usiku huu
“nimechoka sana leo
“sikuelewi umechoka wapi wakati muda wote unashinda hapa nyumbani au ndio unacheza mchezo wako na eliza
“hapana
“sasa ebu nipe sasa hivi
alinivuta kwa nguvu na kunikumbatia na kunipa mdomo wake tukawa tunabadilishana mate kwa polepole na huku mkono wake mmoja ukiwa ndani ya kaptura yangu ukichezea rungu langu
mwili wangu ulinisisimka kwan mikono yake ilikuwa laini sana iliyopelekea mpaka rungu kusimama
alinisikuma na kunilaza chali na yeye kuja kukaa juu ya tumbo langu na kuitupa kanga yake pembeni na kubaki kama alivyozaliwa na cheni yake ya dhahabu iking’aa pale kiunoni
alianza kulamba kifua changu taratibu na huku bado mikono yake ikicheza na rungu nilipagawa sana na kunifanya nijione nipo sayari nyingine ya mapenzi
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmh …………….nililalamika na huku mikono yangu ikicheza na kifuaa na kuzibinya chuchu zake
alishuka mpaka kwenye koni na kuipapasa na mikono yake kisha kupitisha ulimi wake kwenye kichwa cha koni na kuchezesha nilihisi maji ya dafu yakija
aliingiza koni yote mdomon na kuanza kuimung’unya kwa ndani na mikono yake ikicheza na kifuaa changu
ooooooooooooooooosh ……………………….oooooooooooooooooh nilitoa kilio kutokana na raha nilizokuwa nazipata
alitoka kifuani mwangu na yeye kulala chali ikawa zamu yangu kukaa juu ya kifua chake na yeye kuyabana maziwa yake na kutemea mate kidogo
nikapitisha rungu katikati ya maziwa yake na nilipata raha za ajabu kutokana na joto la pale na akawa akiipokea koni kwa mdomo wake
haikunichukua dakika nyingi kwa nilihisi maji ya dafu yakitoka kwa kasi ya ajabu na kumrukia usoni mwake na kumlowanisha
‘Mh davie nini hiki sasa
‘ooh sorry
alichukua kanga yake na kujifuta usoni mwake kabla ya kusogea kwenye rungu na kulifuta taratibu na kisha kuanza kuinyonya taratibu ili kuipandisha mnara kwa mara ya pili
alicheza na rungu mpaka liliposimama kwa mara ya pili alinyanyuka na kunyanyua miguu yake na kupitisha rungu
alianza kuzungusha kiuno kwa kasi ya ajabu na midomon yetu ikiwa inabadilishana mate alitaka kunizidi lakini nilimgeuza na kumlanza chali na kupiga mzigo kwa nguvu na kasi ya ajabu
“oooooooosh …………………pole……………..pole …………na……………umia …………………….davie ………..wangu
alilalamika na huku akinikumbatia kwa nguvu sana kwani maji ya dafu yalikuwa yanamtoka
nilichomoa kitu kabla ya kukichomeka tena kuendelea na raundi ya pili lakin tulishitushwa na kishindo cha mtu kuanguka nje
“nini hiko davie
“sijui
“ebu angalia
alinyanyuka na kunipisha ili niangalie dirishani nilimuona eliza akiwa na kanga moja anakimbia nilikausha na kurudi kitandani
“kuna nini
“hamna kitu ni mbwa
tulirudi na kuendelea na ngwe ya pili kabla ya kulala pamoja mpaka saa 11 asubuhi alipoomka na kurudi chumbani mwake kwa ajili ya kwenda kazini
sababu ya uchovu nilipitiwa na usingizi na nilikuja kuamka saa 4 nilitoka ndani kwa ajili ya kwenda kuoga ,ili kutoka tu uso kwa uso na eliza
“davie nimeona kila kitu ulichofanya na dada nasra
“kitu gani
“usinifanye mtoto mdogo jana ulilala na dada kumbe unatuchanganya
“hapana eliza naomba iwe siri yako
“sitaki kubeba dhambi yaan dada mumewe kasafiri yupo uk alafu yy huku anafanya ushenz bora mie sijaolewa
|”eliza yaishe basi
“ukitaka yaishe na mimi leo nataka tena kwan jana mlinipandisha hamu
alinivuta kwa kasi ya ajabu na kunipiga busu nilienda kuoga na kwenda chumban mwangu kuvaaa
niliamua bora nikatembee mitaan maana nikibaki nyumban lazima eliza angetaka penzi nilitoka sebureni kwa ajili ya kuondoka
“wap tena hiyo
“dukan
“sawa usichelewe kurudi
japokuwa nilikuwa natafutwa lakni sikujari nilitoka nje hivyo hivyo nikiwa maeneo ya uwanja m,dogo wa ndege maeneo ya morogoro uliopo modeko
ilikuja gari aina ya defender na kupaki mbele yangu na kushuka vidume vilivyojazia nilikimbia na wao wakanifuta kwa nyumas

Nilijaribu kukimbia lakini nao wakanifuta mbio kwa nyuma nilikimbia umbali upatao kama km 1 nikahisi miguu yangu ikiishiwa nguvu na pumzi kukata nilianguka chini huku nikihema kwa nguvu
walinifikia na kunikamata walinibeba juu juu kunipeleka kwenye gari lao niliingizwa kwenye gari uso kwa uso nikakutana na mumewe maadam recho
“davie unadhani mimi na kimbilika kirhisi kama unavyofikri ww
nilishindwa kumjibu kwa sababu nilikuwa na hema kwa nguvu aliwaamulua wale walinzi washuke kwenye gari kwa ajili ya kuongea na mimi alininyanyua na kuniweka sawa na kuigeuzia sura yake upande wake
“nadhani unajua tuliongea nn
nikanyamaza kidogo alinishika shati na kunivuta
“ina maana unisikii
“hapana
“ila jeuri
“sio jeuri najua tulichoongea
“sasa kwann ulishindwa kuja tena
“mimi nilidhani kazi imeisha
“hakuna kazi kuisha na mimi najua sasa unatafutwa kwa kosa la kubaka ila nitaweza kukusaidia kama ww utanisaidia kwani bado wazazi wangu wanataka mjukuu ila nenda na kesho nataka kuonana na ww ole wako unikimbie najua hadi unapoishi sasa
nilishuka kwenye gari huku nikiwa na hofu na kuondoka bila hata ya kuangalia nyuma sikupenda kuzurura tena niliamua kurudi nyumbani kwan niliona kama mikosi vile
nilifika kwa nasra mida ya saa 6 mchana na kumkuta eliza akiwa jikoni nilitaka kupita bila na kwenda chumbani lakini alisikia miguu yangu
“davie umerudi
“ndio
“nakuja basi
sikutaka kukaa sebureni nilienda chumbani kwangu na kufunga mlango wangu na kujitupa kitandani kulala
nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka kelele zikitoka nje
“davie davie nakufa huku
“njoo unisaidie
nilitoka mbio na kwenda sebureni na kukuta hakuna mtu nilikimbia jikoni sikumuona
mara nikasikia sauti ikitokea choon nilikimbia mpaka choon na kusikia sauti ikitokea kwa ndani
nilisita mlangoni lakini sauti iliendelea kuita kule chooni
nilifungua mlango na kumkuta eliza akiwa kama amezaliwa na huku akijiziba uso kwan alikuwa na mapovu usoni
niliona hamna tatizo nikataka kutoka lakini alinishika mkono na kunirudisha ndani na kufunga kwa nguvu
“leo nataka kwan jana mlinifanya nisilale
“lakin eliza tufanye baadaye
“sitaki
alinivuta kwa nguvu na kunikumbatia na kuanza kuinyonya shingo kwa taratibu hali iliyopelekea na mimi kupata mzuka
alinivua shati langu na kuishusha kaptura yangu na kisha kuinama kuanza kuilamba koni na huku akiniangalia kwa jicho la mahaba
mmmmmmmmmmmmmmh……………..ooooooooooosshhh…………aaaaaaaaaaaaashhhhhhhh
nililamika kutoka na jinsi mtoto alivyokuwa mtundu kwenye kucheza na koni yangu
nilizishika nywele zake na kuzichezea kwa taraatibu kabla YA kumnyanyua na kumkarisha kwenye sinki la kuoge na mguu wake mmoja kuunyanyua juu na kupitisha rungu
oooooooooooooooosh …………mmmmmmmmmmmmh ……….pole…………….pole……davie
alitoka kilio na mimi nikataka kumkomesha ilia asirusdie tena kesho

Nilinyanyua mguu wake juu na kuweka kwenye sinki la kuogea na kisha kumbinua kidogo
Nakulipitisha rungu langu taratibu
oooooooosh…….Nakupenda …..Nipo….Tayari….Kwa lolote kwa ajili yako
Alilalamika lakin mimi nilishika kiuno chake na kupiga mzigo wa kwa nguvu na yeye alikuwa anazungusha kiuno chake kwa kasi ajabu na kunifanya nipate raha ya ajabu
Nilimgeuza na kumbeba kwa juu na huku midomo yetu ikibadilisha mate
Aliviingiza vidole vyake masikion mwangu na huku bado nikiwa nimembeba na mikono yake ilikuwa inanipapasa kwa nyuma ya mgongo wangu
aaaaaaash ……Spidi…..Ongeza …..Baby
Nilitoa sauti ya malalamiko na huku maji ya dafu yakiruka kwa kasi ya ajabu alizidi kuzungusha kiuno chake na huku akinikumbatia kwa nguvu
Nilimwaga maji ya dafu na nguvu kuniishia nilimshusha chini
“Asante davie maana umenifikisha mahali pake
“asante nawe
Alinivuta na kunipiga busu na kisha kuingia kwenye sinki la kuogea
Tulioga kama watoto vile na huku tukiwa tunachezeana na kupapasana kama watoto wadogo
“hiki nini davie aliongea huku akipitisha mkono kwenye rungu langu
“utamu utamu huo nilimjibu
“aaaaah kweli huu utamu unaompagawisha mpaka dada
“acha hzo sitembei na dada yako
“una fikiri mimi mtoto
Aliongea na huku akichezea rungu langu kwa mikono yake lain
Ilisababisha Rungu langu kusimama na kunipa mwemko wa kutaka tena penzi
Sikumchelewesha nilimnyanyua na kumpinda kwenye sinki na kupitisha rungu
“Nini davie mie nimechoka
Sikujali nilipiga mzigo kwa kasi ya ajabu na huku nikichezea chuchu zake alijitahidi kunisukuma huku akiniambia nimechoka lakin sikujali niliendelea kumchezea
“mmmmh nilitoa kilio na huku wazungu weupe wakitoka
Nilimuangukia kwenye kifua chake na kulala alinisikuma na kisha kuanza kuniogesha kwa mikono yake
Nilitoka seburen huku nikiwa nimemkamatia kiuno chake na kwenda kwenye meza ya chakula na kula pamoja
Tulicheza michezo kama watoto na Moyo wangu alianza kuuteka
“davie napenda uwe mume wangu
“usijali
“sio ni sijali bora hvyo nakunywa sumu mie
“nimekuelewa mpenz nami nitakuwa wako
Nilimpa maneno yakumridhisha ili afarijike naye
Tukiwa kwenye maongez mara tulisikia gari ikipaki nje
walishuka Nasra na Baba Moyo ulinilipuka na kwenda mbio nikajua mwisho wangu umefika nilimsukuma pemben Eliza kwan pale seburen tulikuwa kama tulivyozaliwa naye akachungulia dirishan alivyomuona Nasra akashituka na kutoka mbio kuelekea chumban mwake
ghafla alijikwaa na kuanguka chini kama gunia huku akiwa uchi wa nyama na kina Baba walikuwa wanakaribia kuingia ndani

Eliza alianguka chini na kubaki kama alivyozaliwa na huku Baba na Nasra walikuwa wanakaribia kuingia ndani
Nilirudi nyuma haraka ili kumuinua nilichukua kanga na kumfunika na kisha kumvuta mkono mpaka chumbani mwangu kwan kama ningempeleka chumban mwake Nasra angewai kufika
Mlango ulifunguliwa na nikasikia wakiingia ndan
“karibu sana nilisikia sauti ya Nasra akimkaribisha Baba
“Asante sana
“Eliza ……Eliza Nasra aliita
Chumbani nikawa natetemeka kutokana na Eliza yupo chumbani mwangu na asingeweza kuitika
alikuja mpaka mlangoni mwangu na kugonga
“davie …Davie
“Naam
“ebu njoo
Nilifungua mlango nakukutana na Eliza akitaka kuingia chumbani lakin nilimzuia
“Eliza yupo wapi
“kaenda dukani
“sawa naomba niingie ndan mbona unanizuia
“hapana sikuzuii ila sio vizuri
“sio vizur wapi au Eliza yupo humo ndani
alitaka kuingia lakin nilimzuia kuingia mule ndani tukawa tunabisha mpaka akakubali

ITAENDELEA..

No comments