Hakika ukipata penzi au pendo la dhati,,maisha yako yatakuwa na mwelekeo,,,,usikimbilie mali na wenye muonekano mzuri,,,,,mtafute mwenye moyo safi na anayejali utu,,,,,usipuuzie mahusiano sio leo tu,,,,,angalia na maisha yako yajayo,,,,,,ukikosea,utajutia maisha na kupunguza siku zako za kuishi.
PENZI AU PENDO LA DHATI HUPELEKEA MWELEKEO WA MAISHA
Reviewed by Tasboy
on
2:00 PM
Rating: 5
No comments