Mahakama moja nchini India 🇮🇳 imeamrisha mwanaharakati wa kihindi bi Rehana Fathima kukaa rumande siku 14 kwa kuchapisha picha hii ☝🏿kwenye mtandao wa Facebook.
Polisi wanasema picha hii ni ya ”utupu”. Amewekwa rumande kwa siku 14 kuruhusu polisi wakamilishe uchunguzi. Je picha hii ya utupu?
AHUKUMIWA KIFUNGO BAADA YA KUPOST PICHA HII FACEBOOK
Reviewed by Tasboy
on
8:51 AM
Rating: 5
No comments