Unatumia akili au hisia kwenye kufanya maamuzi katika jambo lolote katika maisha yako? Wengi huruhusu hisia ziwatawale katika maisha yao kuliko kuishirikisha akili ili maamuzi yawe sahihi zaidi,,,wengi huja kujutia baadae kwanini walifanya maamuzi fulani sababu ya matokeo mabaya,,,,,
TUMIA AKILI KUFANYA MAAMUZI SAHIHI
Reviewed by Tasboy
on
9:03 PM
Rating: 5
No comments