Upendo ni tiba maradhi hukimbia, Salamu ni shiba buriani yazidiwa, Kukumbukana ni haiba nuru hutuangazia, Kwa furaha na mahaba sitochoka kukusalimia, Za saa hizi kidani cha moyo wangu…………………………….??? &-*-*-*-*-*-*-*-*-*-*-*-*-*-&
UPENDO NI TIBA
Reviewed by Tasboy
on
12:34 PM
Rating: 5
No comments